9 Vivyo hivyo, wanawake wanapaswa kujipamba kwa mavazi yanayofaa,* kwa kiasi na utimamu wa akili,* si kwa mitindo ya kusuka nywele, dhahabu, lulu, au mavazi ya bei ghali sana,+
9 Vivyo hivyo natamani wanawake wajipambe kwa mavazi yenye mpangilio mzuri, pamoja na kiasi+ na utimamu wa akili, si kwa mitindo ya kusuka nywele na dhahabu au lulu au mavazi yaliyo ghali sana,+