10 Hiyo ndiyo sababu tunafanya kazi kwa bidii na kujitahidi,+ kwa sababu tumemtumaini Mungu aliye hai, ambaye ni Mwokozi+ wa watu wa namna zote,+ hasa wa walio waaminifu.
10 Kwa maana kwa kusudi hili tunafanya kazi kwa bidii na kujikaza wenyewe,+ kwa sababu tumeweka tumaini+ letu juu ya Mungu aliye hai, ambaye ni Mwokozi+ wa watu wa namna zote,+ hasa wa watu waaminifu.+