13 Vilevile wanakuwa na tabia ya kupoteza muda, wakizunguka kutoka nyumba moja hadi nyingine; ndiyo, hawapotezi muda tu, bali pia wanapiga porojo na kujiingiza katika mambo ya watu wengine,+ wakiongea kuhusu mambo ambayo hawapaswi.
13 Wakati huohuo wao hujifunza pia kutokuwa na kazi, wakizunguka-zunguka nyumba kwa nyumba; ndiyo, si kwamba hawana kazi tu, bali pia ni wenye kupiga porojo na wenye kujiingiza katika mambo ya watu wengine,+ wakiongea juu ya mambo ambayo hawapaswi.