16 Ikiwa mwanamke yeyote mwamini ana watu wa ukoo ambao ni wajane, inafaa awasaidie ili kutaniko lisibebe mzigo huo, na hivyo liwasaidie wale walio wajane kwelikweli.*+
16 Ikiwa mwanamke yeyote mwamini ana wajane, acha yeye awasaidie wao,+ na acha kutaniko lisiwe chini ya mzigo huo. Ndipo liweze kuwasaidia wale ambao ni wajane kwelikweli.+