12 Ndiyo sababu ninavumilia pia mambo haya,+ lakini sioni aibu.+ Kwa maana ninamjua Yule ambaye nimemwamini, nami nina uhakika kwamba anaweza kulinda kile nilichoweka amana kwake mpaka siku hiyo.+
12 Kwa sababu hii ninavumilia+ pia mambo haya, lakini sioni aibu.+ Kwa maana namjua yule ambaye nimemwamini, nami nina hakika anaweza kukilinda+ kile ambacho nimeweka amana kwake mpaka siku ile.+