10 Kwa maana mtu ambaye ameingia katika pumziko la Mungu, amepumzika pia kutoka kwenye kazi zake mwenyewe, kama Mungu alivyopumzika kutoka kwenye kazi zake.+
10 Kwa maana mtu ambaye ameingia katika pumziko+ la Mungu yeye mwenyewe pia amepumzika kutokana na kazi zake mwenyewe,+ kama Mungu alivyopumzika kutokana na kazi zake mwenyewe.