2 naye Abrahamu akampa* sehemu ya kumi ya vitu vyote. Kwanza, jina lake linatafsiriwa “Mfalme wa Uadilifu,” kisha pia mfalme wa Salemu, yaani, “Mfalme wa Amani.”
2 na ambaye Abrahamu alimgawia sehemu ya kumi katika vitu vyote,+ kwanza kabisa, kwa tafsiri, yeye ni “Mfalme wa Uadilifu,” na kisha pia ni mfalme wa Salemu,+ yaani, “Mfalme wa Amani.”