-
Waebrania 7:2Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
-
-
2 na ambaye Abrahamu alimgawia sehemu ya kumi katika vitu vyote, yeye kwanza kabisa, kwa tafsiri, ni “Mfalme wa Uadilifu,” na kisha pia ni mfalme wa Salemu, yaani, “Mfalme wa Amani.”
-