5 Ni kweli, kulingana na Sheria, wazao wa Lawi+ ambao hupokea cheo chao cha ukuhani, wana amri ya kukusanya sehemu za kumi kutoka kwa watu,+ yaani, kutoka kwa ndugu zao, ingawa hao ni wazao wa* Abrahamu.
5 Ni kweli, watu kutoka katika wana wa Lawi+ ambao hupokea cheo chao cha ukuhani wana amri ya kukusanya sehemu za kumi+ kutoka kwa watu+ kulingana na Sheria, yaani, kutoka kwa ndugu zao, hata kama hao wametoka katika viuno vya Abrahamu;+