Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 18:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 “Ona kwamba nimewapa wana wa Lawi kila sehemu ya kumi+ katika Israeli iwe urithi wao kwa sababu ya utumishi wao, utumishi wa hema la mkutano.

  • Hesabu 18:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 “Unapaswa kuwaambia hivi Walawi: ‘Mtapokea kutoka kwa Waisraeli sehemu ya kumi ambayo nimewapa ninyi kutoka kwao ili iwe urithi wenu,+ nanyi mnapaswa kumtolea Yehova mchango wa sehemu ya kumi kutoka katika sehemu hiyo ya kumi.+

  • Kumbukumbu la Torati 14:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 “Mwishoni mwa kila miaka mitatu mnapaswa kuleta sehemu yote ya kumi ya mazao yenu ya mwaka huo na kuyahifadhi ndani ya majiji yenu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki