25 Hilo halikufanywa ili ajitoe mwenyewe mara nyingi, kama kuhani mkuu anavyoingia mahali patakatifu mwaka baada ya mwaka+ akiwa na damu ambayo si yake mwenyewe.
25 Wala si ili ajitoe mwenyewe mara nyingi, kama vile kuhani mkuu anavyoingia mahali patakatifu+ mwaka baada ya mwaka+ akiwa na damu isiyo yake mwenyewe.