2 Yehova akamwambia Musa: “Mwambie Haruni ndugu yako asiingie mahali patakatifu+ nyuma ya pazia+ mbele ya kifuniko cha sanduku la agano wakati wowote tu, asije akafa,+ kwa sababu nitatokea katika wingu juu ya kifuniko hicho.+
34 Hiyo itakuwa sheria ya kudumu kwa ajili yenu+ ili dhabihu ya kufunika dhambi itolewe kwa ajili ya Waisraeli ili kufunika dhambi zao zote mara moja kila mwaka.”+
Basi Haruni akafanya kama Yehova alivyomwamuru Musa.