10 Haruni anapaswa kutoa dhabihu ya kufunika dhambi juu ya pembe za madhabahu hiyo mara moja kwa mwaka.+ Akitumia kiasi fulani cha damu ya dhabihu ya dhambi inayotolewa ili kufunika dhambi,+ ataitakasa mara moja kwa mwaka katika vizazi vyenu vyote. Ni madhabahu takatifu zaidi kwa Yehova.”
7 lakini kuhani mkuu huingia ndani ya chumba cha pili akiwa peke yake mara moja kwa mwaka,+ akiwa na damu,+ ambayo huitoa kwa ajili yake mwenyewe+ na kwa ajili ya dhambi ambazo watu+ walifanya bila kujua.