Kutoka 30:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Naye Haruni atafanya upatanisho juu ya pembe zake mara moja kwa mwaka.+ Kwa sehemu ya damu ya toleo la dhambi+ la upatanisho ataifanyia upatanisho mara moja kwa mwaka katika vizazi vyenu. Ni takatifu zaidi kwa Yehova.”
10 Naye Haruni atafanya upatanisho juu ya pembe zake mara moja kwa mwaka.+ Kwa sehemu ya damu ya toleo la dhambi+ la upatanisho ataifanyia upatanisho mara moja kwa mwaka katika vizazi vyenu. Ni takatifu zaidi kwa Yehova.”