4 Kwa imani, Abeli alimtolea Mungu dhabihu ya thamani kubwa zaidi kuliko ile ya Kaini,+ na kupitia imani hiyo alitolewa ushahidi kwamba alikuwa mwadilifu, kwa kuwa Mungu alikubali zawadi zake,+ na ingawa alikufa, bado anazungumza+ kupitia imani yake.