12 Kwa sababu hiyo, kutoka kwa mwanamume mmoja, ambaye alikuwa kama mfu,+ walizaliwa watoto+ wengi kama nyota za mbinguni na wasiohesabika kama mchanga ulio kando ya bahari.+
12 Kwa sababu hiyo pia kutoka kwa mwanamume mmoja,+ naye akiwa kana kwamba ni mfu,+ kulizaliwa watoto kama vile nyota za mbinguni kwa wingi na kama mchanga ulio kando ya bahari, usiohesabika.+