16 na muwe waangalifu ili miongoni mwenu kusiwe na mwasherati* wala yeyote asiyethamini mambo matakatifu, kama Esau, aliyetoa haki zake za kuwa mzaliwa wa kwanza kwa kubadilishana na mlo mmoja.+
16 kwamba kusiwe na mwasherati wala yeyote asiyethamini mambo matakatifu, kama Esau,+ ambaye alitoa haki zake za kuwa mzaliwa wa kwanza kwa kubadilishana na mlo mmoja.+