Yakobo 2:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Lakini ninyi mmemvunjia heshima maskini. Je, si matajiri wanaowakandamiza ninyi+ na kuwakokota wakiwapeleka mahakamani? Yakobo 2:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Ingawa hivyo, ninyi mmemvunjia heshima mtu maskini. Matajiri huwakandamiza+ ninyi, nao huwakokota ninyi na kuwapeleka mbele ya mahakama,+ sivyo? Yakobo Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012 2:6 w97 11/15 14 Yakobo Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 2:6 Mnara wa Mlinzi,11/15/1997, uku. 14
6 Lakini ninyi mmemvunjia heshima maskini. Je, si matajiri wanaowakandamiza ninyi+ na kuwakokota wakiwapeleka mahakamani?
6 Ingawa hivyo, ninyi mmemvunjia heshima mtu maskini. Matajiri huwakandamiza+ ninyi, nao huwakokota ninyi na kuwapeleka mbele ya mahakama,+ sivyo?