7 Basi, iweni na subira, akina ndugu, mpaka kuwapo kwa Bwana.+ Tazama! Mkulima huendelea kungojea matunda yenye thamani ya nchi, akiyasubiri mpaka mvua ya mapema na mvua ya baadaye inyeshe.+
7 Basi, onyesheni subira, akina ndugu, mpaka kuwapo+ kwa Bwana. Tazama! Mkulima huendelea kungojea matunda yenye thamani ya nchi, anayasubiri mpaka apate mvua ya mapema na mvua ya baadaye.+