23 Alipokuwa akitukanwa,*+ hakujibu kwa kutukana.*+ Alipokuwa akiteseka,+ hakutoa vitisho, bali alijikabidhi mkononi mwa Yule anayehukumu+ kwa uadilifu.
23 Alipokuwa akitukanwa,+ hakujibu kwa matukano.+ Alipokuwa akiteseka,+ hakutoa vitisho, bali aliendelea kujiweka mkononi mwa yule+ ambaye anahukumu kwa uadilifu.