16 Iweni na dhamiri njema,+ ili katika kila jambo ambalo wanasema vibaya dhidi yenu, wale wanaosema vibaya dhidi yenu waaibishwe+ kwa sababu ya mwenendo wenu mzuri mkiwa wafuasi wa Kristo.+
16 Iweni na dhamiri njema,+ ili katika lile jambo ambalo wanasema vibaya juu yenu waweze kupata aibu+ wale wanaosema kwa kuushushia heshima mwenendo wenu mwema kuhusiana na Kristo.+