12 Lakini watu hawa, kama wanyama wanaotenda kwa silika na wanaozaliwa* ili kukamatwa na kuangamizwa, wanayatukana mambo wasioyajua.+ Watapata maangamizo yanayoletwa na mwendo wao wenyewe wa maangamizi,
12 Lakini watu hawa, kama wanyama wasiofikiri waliozaliwa kiasili ili kukamatwa na kuangamizwa, katika mambo ambayo wao hawayajui na kuyatukana,+ watapatwa na maangamizi katika mwendo wao wenyewe wa maangamizi,