16 lakini akakaripiwa kwa sababu hakufanya yaliyo sawa.+ Mnyama wa kubeba mizigo asiye na sauti alizungumza kwa sauti ya mwanadamu na kuzuia mwendo wa kiwazimu wa nabii huyo.+
16 lakini akapata karipio kwa ajili ya yeye mwenyewe kuharibu jambo lililokuwa sawa.+ Mnyama wa kubeba mizigo asiye na sauti, akisema kwa sauti ya mtu,+ aliuzuia mwendo wa wazimu wa nabii huyo.+