17 Kwa hiyo, wapendwa, kwa kuwa mmepata ujuzi huu mapema, jilindeni ili msipotoshwe pamoja nao kwa kosa la waasi sheria, na kuanguka kutoka kwenye msimamo wenu imara.*+
17 Kwa hiyo, ninyi, wapendwa, mkiwa na ujuzi huu wa kimbele,+ jilindeni ili msichukuliwe mbali pamoja nao kwa kosa la watu wanaokaidi sheria, mwanguke kutoka kwenye uimara wenu wenyewe.+