13 Ninawaandikia ninyi akina baba, kwa sababu mmemjua yule aliye wa tangu mwanzo. Ninawaandikia ninyi vijana, kwa sababu mmemshinda yule mwovu.+ Ninawaandikia ninyi watoto wadogo, kwa sababu mmemjua Baba.+
13 Ninawaandikia ninyi, akina baba, kwa sababu mmemjua yeye aliye wa tangu mwanzo.+ Ninawaandikia ninyi, vijana,+ kwa sababu mmemshinda yule mwovu.+ Ninawaandikia ninyi, watoto wachanga,+ kwa sababu mmemjua Baba.+