9 Kila mtu ambaye amezaliwa kutokana na Mungu haendelei kufanya dhambi,+ kwa sababu mbegu* Yake hukaa ndani ya mtu huyo, naye hawezi kuendelea kufanya dhambi, kwa sababu amezaliwa kutokana na Mungu.+
9 Kila mtu ambaye amezaliwa kutokana na Mungu haendelei kufanya dhambi,+ kwa sababu mbegu Yake yenye kuzaa hukaa ndani ya mtu huyo, naye hawezi kuwa na mazoea ya kufanya dhambi, kwa sababu amezaliwa kutokana na Mungu.+