2 Hivi ndivyo mnavyojua ikiwa neno lililoongozwa na roho limetoka kwa Mungu: Kila neno lililoongozwa na roho linalokiri kwamba Yesu Kristo alikuja katika mwili linatoka kwa Mungu.+
2 Mnalijua neno lililoongozwa na roho kutoka kwa Mungu+ kwa njia hii: Kila neno lililoongozwa na roho linalomkiri Yesu Kristo kuwa alikuja katika mwili hutokana na Mungu,+