13 ‘Ninajua mahali unapokaa, yaani, mahali kilipo kiti cha ufalme cha Shetani; na bado unaendelea kulishika sana jina langu,+ nawe hukukana imani yako katika mimi+ hata katika siku za Antipa, shahidi+ wangu, aliye mwaminifu, aliyeuawa+ kando yenu, mahali anapokaa Shetani.