Luka 12:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 “Ninawaambia, kila mtu anayenikiri mbele ya watu,+ Mwana wa binadamu pia atamkiri mbele ya malaika wa Mungu.+ 1 Yohana 2:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Kila mtu anayemkana Mwana hana Baba pia.+ Bali yeyote anayemkiri Mwana+ ana Baba pia.+
8 “Ninawaambia, kila mtu anayenikiri mbele ya watu,+ Mwana wa binadamu pia atamkiri mbele ya malaika wa Mungu.+