18 “Kwa malaika wa kutaniko lililo huko Thiatira+ andika: Haya ndiyo mambo anayosema Mwana wa Mungu, ambaye macho yake ni kama mwali wa moto+ na ambaye miguu yake ni kama shaba safi:+
18 “Na kwa malaika wa kutaniko katika Thiatira+ andika: Haya ndiyo mambo ambayo Mwana+ wa Mungu anasema, yeye ambaye macho yake ni kama mwali wa moto,+ na miguu yake ni kama shaba safi,+