24 “‘Hata hivyo, ninawaambia wale wengine kati yenu walio huko Thiatira, wote wasiofuata fundisho hili, wale ambao hawakujua yale yanayoitwa “mambo mazito ya Shetani”:+ Mimi siwaongezei mzigo mwingine wowote.
24 “ ‘Hata hivyo, ninawaambia wale wengine kati yenu walio katika Thiatira, wale wote wasio na fundisho hili, wale ambao hawakujua “mambo mazito ya Shetani,”+ kama wanavyosema: Mimi siweki juu yenu mzigo mwingine wowote.+