-
Ufunuo 2:24Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
-
-
24 “‘Hata hivyo, nawaambia wale wengine kati yenu walio katika Thiatira, wote wale wasiokuwa na ufundishaji huu, walewale ambao hawakupata kujua “mambo yenye kina kirefu ya Shetani,” kama wasemavyo: Mimi siweki juu yenu mzigo mwingine wowote wenye kulemea.
-