14 “Kwa malaika wa kutaniko lililo huko Laodikia+ andika: Haya ndiyo mambo anayosema Amina,+ shahidi+ mwaminifu na wa kweli,+ mwanzo wa uumbaji wa Mungu:+
14 “Na kwa malaika wa kutaniko katika Laodikia+ andika: Haya ndiyo mambo anayosema Amina,+ shahidi+ mwaminifu+ na wa kweli,+ mwanzo wa uumbaji wa Mungu,+