17 Kwa sababu unasema, “Mimi ni tajiri,+ nimejipatia utajiri na sihitaji kitu chochote,” lakini hujui kwamba wewe ni mwenye taabu na wa kusikitikiwa na maskini na kipofu na uko uchi,
17 Kwa sababu unasema: “Mimi ni tajiri,+ nimejipatia utajiri na sihitaji kitu chochote hata kidogo,” lakini hujui kwamba wewe ni mwenye taabu na wa kusikitikiwa na maskini na kipofu+ na uchi,