5Nami nikaona katika mkono wa kuume wa Yule aliyeketi kwenye kile kiti cha ufalme,+ kitabu cha kukunjwa kilichoandikwa pande zote mbili,* kilichofungwa kabisa kwa mihuri saba.
5Nami nikaona katika mkono wa kuume wa Yule aliyeketi juu ya kile kiti cha ufalme+ kitabu cha kukunjwa kilichoandikwa ndani na upande wa nyuma,+ kimefungwa+ kabisa kwa mihuri saba.