6 Nami nikasikia kitu kama sauti katikati ya wale viumbe hai wanne ikisema: “Kibaba* cha ngano kwa dinari*+ moja na vibaba vitatu vya shayiri kwa dinari moja; na usidhuru divai na mafuta ya zeituni.”+
6 Nami nikasikia sauti kana kwamba ni katikati+ ya wale viumbe hai wanne+ ikisema: “Kibaba cha ngano kwa dinari+ moja, na vibaba vitatu vya shayiri kwa dinari moja; wala usidhuru mafuta ya zeituni na divai.”+