7 Malaika wa kwanza akaipiga tarumbeta yake. Kukawa na mvua ya mawe na moto uliochanganyika na damu, nao ukatupwa duniani;+ na theluthi moja ya dunia ikateketezwa, na theluthi moja ya miti ikateketezwa, na mimea yote mibichi ikateketezwa.+
7 Na wa kwanza akaipiga tarumbeta yake. Na kukatukia mvua ya mawe na moto+ uliochangamana na damu, nao ukatupwa duniani; na sehemu ya tatu ya dunia ikateketezwa,+ na sehemu ya tatu ya miti ikateketezwa, na mimea yote mibichi+ ikateketezwa.