4 Basi zile ngurumo saba zilipozungumza, nilikuwa karibu kuandika; lakini nikasikia sauti kutoka mbinguni+ ikisema: “Yatie muhuri mambo ambayo zile ngurumo saba zilisema, nawe usiyaandike.”
4 Basi zile ngurumo saba ziliposema, nilikuwa karibu kuandika; lakini nikasikia sauti kutoka mbinguni+ ikisema: “Yatie muhuri mambo+ ambayo zile ngurumo saba zilisema, nawe usiyaandike hayo.”