19 Na patakatifu pa hekalu la Mungu palipo mbinguni pakafunguliwa, na sanduku la agano lake likaonekana katika patakatifu pa hekalu lake.+ Na kukatokea radi na sauti na ngurumo na tetemeko la ardhi na mvua kubwa ya mawe.
19 Na patakatifu pa hekalu la Mungu palipo mbinguni+ pakafunguliwa, na sanduku+ la agano lake likaonekana katika patakatifu pa hekalu lake.+ Na kukatokea umeme na sauti na ngurumo na tetemeko la nchi na mvua kubwa ya mawe.