9 Malaika mwingine, wa tatu, akawafuata, akisema kwa sauti kubwa: “Yeyote akimwabudu yule mnyama wa mwituni+ na sanamu yake na kupokea alama kwenye paji la uso wake au kwenye mkono wake,+
9 Na malaika mwingine, wa tatu, akawafuata, akisema kwa sauti kubwa: “Yeyote akimwabudu yule mnyama-mwitu+ na sanamu yake,+ na kupokea alama juu ya paji la uso wake au juu ya mkono wake,+