13 Nami nikaona maneno matatu machafu yaliyoongozwa na roho* ambayo yalionekana kama vyura yakitoka katika kinywa cha yule joka+ na katika kinywa cha yule mnyama wa mwituni na katika kinywa cha yule nabii wa uwongo.
13 Nami nikaona maneno machafu matatu yaliyoongozwa na roho+ ambayo yalionekana kama vyura+ yakitoka katika kinywa cha yule joka+ mkubwa na kutoka katika kinywa cha yule mnyama-mwitu+ na kutoka katika kinywa cha yule nabii wa uwongo.+