3 Kwa sababu ya divai ya hamu* ya uasherati* wake, mataifa yote yamenaswa,+ na wafalme wa dunia walifanya uasherati naye,+ na wafanyabiashara* wa dunia walikuwa matajiri kutokana na nguvu za anasa yake isiyo na aibu.”
3 Kwa kuwa mataifa yote yameanguka yakiwa majeruhi kwa sababu ya divai ya hasira ya uasherati wake,+ na wafalme wa dunia walifanya uasherati+ naye, na wanabiashara+ wa dunia wanaosafiri walikuwa matajiri kutokana na nguvu za anasa yake isiyo na aibu.”+