10 Na Ibilisi aliyekuwa akiwapotosha alitupwa ndani ya lile ziwa la moto na kiberiti, ambamo wote wawili, yule mnyama wa mwituni+ na yule nabii wa uwongo, tayari walikuwa;+ nao watateswa* mchana na usiku milele na milele.
10 Na Ibilisi+ aliyekuwa akiwapotosha alitupwa ndani ya lile ziwa la moto na kiberiti, ambamo wote wawili, yule mnyama-mwitu+ na yule nabii wa uwongo, tayari walikuwa;+ nao watateswa mchana na usiku milele na milele.