2 Pia, nikaona lile jiji takatifu, Yerusalemu Jipya, likishuka kutoka mbinguni kwa Mungu+ likiwa limetayarishwa kama bibi harusi aliyepambwa kwa ajili ya mume wake.+
2 Nikaona pia lile jiji takatifu,+ Yerusalemu Jipya, likishuka kutoka mbinguni+ kwa Mungu na limetayarishwa kama bibi-arusi+ aliyepambwa kwa ajili ya mume wake.+