Mwanzo 38:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Yuda akamuuliza: “Ungependa nikupe nini kama rehani?” akasema: “Pete yako ya muhuri+ na kamba yako na fimbo uliyoshika mkononi.” Basi akampa vitu hivyo na kulala naye, Tamari akapata mimba. Mwanzo Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 38:18 “Kila Andiko,” uku. 17 Mnara wa Mlinzi,11/1/1986, uku. 17
18 Yuda akamuuliza: “Ungependa nikupe nini kama rehani?” akasema: “Pete yako ya muhuri+ na kamba yako na fimbo uliyoshika mkononi.” Basi akampa vitu hivyo na kulala naye, Tamari akapata mimba.