Mwanzo 38:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Naye akasema: “Ni rehani gani nitakayokupa?” akasema: “Pete yako ya muhuri+ na kamba yako na fimbo yako iliyo mkononi mwako.” Basi akampa vitu hivyo, akalala naye, naye akapata mimba. Mwanzo Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 38:18 “Kila Andiko,” uku. 17 Mnara wa Mlinzi,11/1/1986, uku. 17
18 Naye akasema: “Ni rehani gani nitakayokupa?” akasema: “Pete yako ya muhuri+ na kamba yako na fimbo yako iliyo mkononi mwako.” Basi akampa vitu hivyo, akalala naye, naye akapata mimba.