Mwanzo 38:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Alipokuwa akitolewa nje, akatuma ujumbe huu kwa baba mkwe wake: “Mwenye vitu hivi ndiye aliyenipa mimba.” Kisha akasema: “Tafadhali chunguza vitu hivi ni vya nani, yaani, pete hii ya muhuri na kamba na fimbo hii.”+
25 Alipokuwa akitolewa nje, akatuma ujumbe huu kwa baba mkwe wake: “Mwenye vitu hivi ndiye aliyenipa mimba.” Kisha akasema: “Tafadhali chunguza vitu hivi ni vya nani, yaani, pete hii ya muhuri na kamba na fimbo hii.”+