Mwanzo 38:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Basi Yuda akavichunguza na kusema: “Yeye ni mwadilifu kuliko mimi, kwa sababu sikumruhusu Shela mwanangu amwoe.”+ Yuda hakufanya ngono naye tena baada ya hayo. Mwanzo Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012 38:26 w04 1/15 29 Mwanzo Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 38:26 Mnara wa Mlinzi,1/15/2004, uku. 29
26 Basi Yuda akavichunguza na kusema: “Yeye ni mwadilifu kuliko mimi, kwa sababu sikumruhusu Shela mwanangu amwoe.”+ Yuda hakufanya ngono naye tena baada ya hayo.