Mwanzo 39:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Tangu alipomweka kuwa msimamizi wa nyumba yake na wa vitu vyake vyote, Yehova aliendelea kuibariki nyumba ya Mmisri huyo kwa sababu ya Yosefu, na Yehova akabariki vitu vyote alivyokuwa navyo nyumbani na shambani.+
5 Tangu alipomweka kuwa msimamizi wa nyumba yake na wa vitu vyake vyote, Yehova aliendelea kuibariki nyumba ya Mmisri huyo kwa sababu ya Yosefu, na Yehova akabariki vitu vyote alivyokuwa navyo nyumbani na shambani.+