Mwanzo 39:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Ikawa kwamba tangu alipomweka asimamie nyumba yake na vyote vilivyokuwa vyake, Yehova akazidi kuibariki nyumba ya Mmisri huyo kwa sababu ya Yosefu, na Yehova akabariki vitu vyote alivyokuwa navyo nyumbani na shambani.+
5 Ikawa kwamba tangu alipomweka asimamie nyumba yake na vyote vilivyokuwa vyake, Yehova akazidi kuibariki nyumba ya Mmisri huyo kwa sababu ya Yosefu, na Yehova akabariki vitu vyote alivyokuwa navyo nyumbani na shambani.+